Topics :
© Bongo Waves | Under - Abdulaziz Issa. Powered by Blogger.
Latest Post
Showing posts with label Habari Kimataifa. Show all posts
Showing posts with label Habari Kimataifa. Show all posts

MR BLUE KUFANYA SHOW KALI JIJINI MWANZA TAREHE 26/12 BOXING DAY

Written By Unknown on Thursday, December 25, 2014 | 3:03 PM


















Mr blue kufanya show siku ya Boxingday jijini Mwanza.
Mr blue atafanya show kubwa katika ukumbi wa Nolin uliopo buswelu.
Atasindikizwa na wakali kama Bamuyu kujogoo na David Cosmass bila kumsahau
Abuu mkali anaetamba na wimbo wake wa ASELA

Fat Joe kwenda jela kwa kukwepa kodi

Written By Unknown on Friday, December 28, 2012 | 8:29 PM

Fat Joe
Kiongozi wa kundi la Terror Squad maarufu kama Fat Joe ama Joe Crack ambae hapo nyuma alitamba na baadhi ya ngoma zake kama Lean Back, What's Love, Aint say Nothing na nyingine nyingi.

Chris Brown:nataka kufa baada ya kutoa album yangu.

CB-Chris Brown
'Don't work me up hit maker' ambae amekuwa gumzo kwenye media mwaka huu katika maswala mbalimbali ikiwemo mapenzi yanayotatanisha kati yake na warembo wawili Karruache Tran na Rihanna,

Hizi Ndio Sababu Zinazolifanya Kundi La P-Unit Lisivunjike

P-UNIT
 Kundi la P-Unit kutokea nchini Kenya ambalo lionaundwa na wasanii watatu yaani Frasha, Gabu na Bon Eye limeweza kutoa sababu ya wao kutotengana au kuwa pamoja hadi leo. 
 
© 2013. Muziki Wetu Tanzania - All Rights Reserved
Developed by Kicbjamii